Al-Qur'an Al-Kareem

Muhammad (PBUH)

Announcements

Events

Partners

Home

Donate

 

Bi Nasra Al Abri afariki dunia

إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

 

Tunasikitika kutangaza kifo cha Amoo wake Ustadh wetu Sabri, Bi Nasra Al Abri kilichotokea huko Zanzibar.

Allah awape Subra ndugu, jamaa na marafiki na ampe makazi mema marehemu peponi Amen.

 

Zingatia: hakikisha kompyuta yako ina 'support' maandishi ya kiarabu kwa kusoma maandishi yaliyoandikwa kwa kiarabu kwenye website hii.

 
 
 

:::: © Salama Charitable Trust ::::